Tukiongozwa na shughuli kuu amabazo tunazifanya za UTOAJI WA HAMASA ZA MAISHA, UONGOZAJI WA SAFARI ZA KIMAFUNZO, UONGOZAJI MATUKIO, UANDAAJI WA MAKALA MBALIMBALI, USHAURI WA KIBIASHARA ,
Hivyo katika mwaka huu tuna kauli mbiu yetu kuu ya FUKUZIA NDOTO YAKO ikibebwa na jina la TOUR ambapo tutazunguka maeneo mbalimbali ya nchini na nje ya nchi kutoa hamasa mbalimbali za maisha
jionee safari ilivyo kuwa
Mkurugenzi wa kampuni ELLY BONKE, na makamu wakurugenzi JOSEPH na SHADYKHAN
JULIUS JAILO pamoja na SHADYKAN wakiwa na tshirt za EGY BUSINESS SOLUTION wilaya ya rungwe
Vaa nasi tshirt kutoka EGY #fukuziandotoyako
0 comments:
Post a Comment