Na mradi huu umekuwa ukifanyika kwa mkoa wa Mbeya tukifanya Shughuli za kijamii
Jesca akiwa katika Shule ya msingi Mapinduzi
Duka la mwanamke mjasiriamali aliye chini ya Vicoba ya WAJIBIKA, aliyeanzisha biashara kupitia VICOBA
Tukinunua mahitaji yetu
kikundi cha wanawake wajasiriamali eneo la nzovwe,wanaoendesha VICOBA na Biashara ya BATIKI
Jesca Ndana , akiongea na kikundi cha vijana wa MBEYA YOUTH INITIATIVEKatika Shule ya Nzondahaki tukitembelea Club ya Mazingira
0 comments:
Post a Comment