.

.

MUNA TOYS & STATIONERY

MUNA TOYS & STATIONERY

Saturday, September 13, 2014

HII EVENT AMAA KWELI!!! UTHUBUTU UNAANZIA NYUMBANI, HAPA NI SHANGWE TUU?





   MBEYA YOUTH EVENT 2014, hili ni tukio lililounganisha vijana wa jiji la mbeya katika kupanda      MLIMA LOLEZA siku ya tarehe 6/9/2014, ambapo lilikuwa na lengo kuu la kuunganisha vijana kwa     pamoja na kujenga UTHUBUTU WA KUYAFANYIA MAAMUZI yale ambayo wanayaamini, hivyo vijana mbalimbali kutoka ndani ya jiji la Mbeya na nje ya jiji la Mbeya walishiriki katika tukio hili,

Tukio hili lilikuwa na uratibu wa kikundi cha MLIMANI YOUTH GROUP ambapo kwa sasa tukio hili linaitwa MBEYA YOUTH EVENT 2014, hivyo tunatoa wito kwa mtu au taasisi yoyote inayohitaji kufanya udhamini,ufadhili wa namna yoyote kusudi tuu harakati za vijana zisonge mbele na kujiandaa rasmi kwa MBEYA YOUTH EVENT 2015 ambapo itakuwa ya namna ya kitofauti kufanyika jiji Mbeya,

katika kufanikisha tukio hili tunapenda kushukuru WADHAMINI waliohusika kufanikisha tukio hili T-MOTIONS(warekodiji wa documentary nzima ya vijana) na WAJIBIKA PROJECT MBEYA(chini ya uratibu wa Deborah Njulumi)

Pia kwa taasisi zote ambazo ziliweza kushirikiana nasi kama YWCA MBEYA, MBEYA HOME TOURISM, YMCA MBEYA, EGY BUSINESS SOLUTION, FRESOWE, VIJANA MBEYA, MBEYA LIVING LAB, 

kubwa zaidi shukurani zikuendee KIJANA ULIYE SHIRIKI TUKIO HILI, AMINI NI TUKIO  NI LAKO NA UJIVUNIE KUFANYA NA KUTOA MAONI JUU YA TUKIO LIJALO LA MBEYA YOUTH EVENT 2015, NAKUAKIKISHIA LITAKUWA BORA SANAAA

MBEYA YOUTH EVENT   " NI YAKO JIVUNIE!!!! UTHUBUTU UNAANZIA NYUMBANI"


              WASILIANA NA MRATIBU WA MBEYA YOUTH EVENT
          mbeyayouthevent2014@gmail.com       ELLY L. BONKE -0764761900




                                 Daah shangwe zikaanza  vijana kwa pamoja

 
  Hawa vijana kutoka mlimani youth group(team mavuvuzela) JOSEPH,EMMANUEL,SHADRACK
                              Pasua kwanza pulizo ndiyo unakula tikiti mshindi mmoja, hahah lazima ufinye
         Ezekiah kutoka T-MOTIONS akiongoza shangwe na Miraji kutoka Fresowe
      Maisha ni uthubutu ila sio kutafuta maisha kwa njia haramu, igizo la kijana muuza madawa ya kulevya
ELLY BONKE, JOSEPH,EMANUEL, SHADRACK


 Maisha ni kupambana habari ya Loleza ipo hapa mlima kucha panaitwa  lazima ushike chini
           Eliud Samweli: bongee la mchekeshaji, na mshindi wa shindano la sijawahi ona
  
                 Mshindi wa shindano la kula kwa wavulana akiwa na JULIUS JAILO, ELLY
  
     Hakika binti ni jeshi , msemo wa Eliud, akiwa na mama mwenyekiti YWCA MBEYA (oliva kibona)
                          Amos : kutoka mbeya home tourism akitufundisha kucheza
                             Ni kujifunza kucheza pamoja tuuu
                                  Brown: unatupeleka kwenye kuigiza saizi kucheza kaka
         kwa pamoja tukinywa juisi ambazo zilitolewa na WAJIBIKA PROJECT MBEYA
                 Public speaker & Motivation speaker, akiwa kazini sasa (ELLY L. BONKE)
              cheza cheza bila kukunja goti, hahahahahaha ilikuwa siyo ya kukosa kiuweli

      mwendo ni ule ule umepanda na MBEYA YOUTH EVENT lazima utashiriki tuu hili ni tukio lenu
                                        mdogo mdogo vijana utafika tuu
                                UTHUBUTU UNAANZIA NYUMBANI

0 comments:

Post a Comment

 

Bongo Blogs - Blog ya Taifa

COPYRIGHT © Egy business solution DESIGN BY NANG JET 0764504595,0672804085