.

.

MUNA TOYS & STATIONERY

MUNA TOYS & STATIONERY

Sunday, September 7, 2014

JIONEEE MWAKA 2014 ILIVYO KUWA UNAKOSAJE SASA MWAKA HUU TENA SIKU MBILI 12 NA 13 SEPTEMBA 2015

MBEYA YOUTH EVENT 2014, hili ni tukio lililounganisha vijana wa jiji la mbeya katika kupanda MLIMA LOLEZA siku ya tarehe 6/9/2014, hiii ni sehemu ya kwanza ya matukio katika tukio hili ambalo lilihusisha vijana kutoka ndani ya Mbeya na nje ya Mbeya,

Kwa mwaka huu tena zamu yako kushiriki katika tukio hili ambalo litakuwa la siku mbili , ambapo kwa MCHANGO WA ELFU KUMI NA TANO TUU( 15000) itakuwezesha kupata tshirt ambayo kwa mwaka huu mshiriki lazima awe na tshirt na kulala katika hostel za ROMAN CATHOLIC ( YOUTH CENTER ) na kuwa na vitu tutakavyo exchange kama vijana kumbuka ni nafasi yako kijana uliyepo mahali popote kujumuika nasi katika tukio hili


Mwaka huu ni     GUNDUA, JIFUNZE , HAMASISHA jiandikishe mapema kushiriki tukio hili karibu sana
mawasiliano :  O764761900 AU 0713579939 utapatiwa maelekezo


                                 Safari ndipo ilipoanza eneo la RETCO katikati ya jiji la mbeya

                                              njiani vijana wa jiji la mbeya wakiicha rami
                                   kwa pamoja vijana wakigawana matunda na kila mtu alipata

                                                    polepole safari inaendelea hapo

                                 mwanzoni tuu mlima kila mshiriki ana hali ya kufika mwisho


            wanasema unavyopanda mlima uchangamfu ni lazima wakina kaka wakitafakari jambo
         mkurugenzi wa T-MOTIONS (ROBERT ELIAH) kwa nyuma na dada BUPE MLABWA
                                   Team ya vijana kutoka MBEYA HOME OF TOURISM
                                         Iliruhusiwa kuimba nyimbo ili mradi tuuu ufike mwisho
                                                        rahaaaaaaaaaaaa
                                                 hawa nao mlima na mapozi kibao ya picha
                    Team MAVUVUZELA kutoka MLIMANI YOUTH GROUP, hawatasaulika hawa
sehemu ya kwanza inaishia hapa msalabani ,jiandae kujifunza mengi kutoka kwa vijana wa jiji la mbeya
NB:
KWA TAASISI, MTU YEYOTE UNAEWEZA KUTUSAIDIA KWA AINA YOYOTE  KUTOA MAONI, USHAURI, UDHAMINI, ILI KUENDELEZA TUKIO HILI KWANI TUNAHITAJI KULIWEKA KATIKA JARIDA, DVD,VIPEPERUSHI, NA NAMNA MBALIMBALI TUNAKUHITAJI , ILI LIWE BORA ZAIDI
Mawasiliano:email; MBEYAYOUTHEVENT2014@GMAIL.COM simu:ELLY BONKE 0764761900

5 comments:

  1. yees pamoja tumeweza kufanikisha tukio hili,TUMETHUBUTU

    ReplyDelete
  2. Nimependa sana team spirit ya kila mshiriki,event hii ilikuwa best.Asante sana Elly,asante EGY,Asante kizazi kipya cha vijana,HONGERA WASHIRIKI WOTE.Nitatetea kizazi kipya cha vijana.Uthubutu unaanzia nyumbani.TUMETHUBUTU TUMEWEZA.

    ReplyDelete
    Replies
    1. yeeees brother nazani tutakuwa pamoja sana ahsante kwakuwa mshauri wetu sana

      Delete
  3. awesome, this is what i need to see every young people do/participate

    ReplyDelete

 

Bongo Blogs - Blog ya Taifa

COPYRIGHT © Egy business solution DESIGN BY NANG JET 0764504595,0672804085