mafunzo haya yanafanyika katika ukumbi FOREST HILL HOTEL, uliyo karibu na kituo cha mafuta cha JM karibu na stend ya kadeghe,
Baadhi ya washiriki wakiwa katika picha ya pamoja na katibu tawala wilaya mbeya
mjasiriamali EMELDA MWAMANGA na mmiliki wa BANG MAGAZINE akisisitiza jambo
WINNIE NGUNI akifundisha somo la ujasiriamali kwa washiriki wanawake wa jiji la mbeya, yeye ni lectuer wa chuo kikuu dar es salaam,
Mama Tabitha bugali, akiwa na katibu tawala wilaya mbeya na Emelda mwamanga
0 comments:
Post a Comment