.

.

MUNA TOYS & STATIONERY

MUNA TOYS & STATIONERY

Friday, October 3, 2014

WAJIBIKA PROJECT YAKABIDHI VIFAA KWA CLUB YA MAZINGIRA MAPINDUZI SHULE YA MSINGI

WAJIBIKA PROJECT ni mradi unaosimamiwa na YWCA TANZANIA kwa ufadhili wa YGLOBAL KFUK KFUM ya NORWAY ,ambapo katika mkoa wa Mbeya unasimamiwa na taasisi ya YOUNG WOMENS CHRISTIAN ASSOCIATION MBEYA kwa kifupi ikitambulika kama YWCA MBEYA  kwa usimamizi wa program officer wa mradi huu DEBORAH NJULUMI

Katika kuhamasisha utunzaji wa mazingira imefunguliwa Club ya mazingira katika shule ya msingi mapinduzi jijini Mbeya, ambapo hatua ya kwanza ilikuwa wanaclub kupatiwa mafunzo na sasa wamekabidhiwa vifaa mbalimbali watakavyo tumia katika utunzaji wa mazingira

Baadhi ya matukio ya picha katika makabidhiano ya vifaa
                           Wanaclub wakiwa wameshika ujumbe mbalimbali
                                Project officer na Katibu wa club ya mazingira mapinduzi
                              Wakielezea mahitaji wanayohitaji na changamoto wanazozipata
                
         Katibu akipokea vifaa kwa program officer wa mradi DEBORA NJULUMI
                                     LINDA MAZINGIRA, OKOA DUNIA

                                 SAIDIA KUYATUNZA MAZINGIRA

                           wakishangilia kwa ajili ya vifaa walivyopatiwa na WAJIBIKA PROJECT MBEYA
                                          DEBORAH NJULUMI:akipaka oil katika kibao

                                        kazi imefanyika kiukweli ujumbe umefika

sasa kilichobakia ni utendaji wa kazi katika CLUB hii nakuwa mfano wa shule zingine, ahsanteni uongozi mzima wa shule ya mapinduzi pamoja na  YWCA MBEYA, NA YWCA TANZANIA

0 comments:

Post a Comment

 

Bongo Blogs - Blog ya Taifa

COPYRIGHT © Egy business solution DESIGN BY NANG JET 0764504595,0672804085