.

.

MUNA TOYS & STATIONERY

MUNA TOYS & STATIONERY

Monday, August 15, 2016

SIKU YA VIJANA DUNIA 12 AGOSTI 2016, HIVI NDIVYO VIJANA WA MBEYA WALIVYOFANYA KAMBI YAO

Siku ya vijana kila mwaka huadhimishwa duniani tarehe 12 AGOSTI ambapo vijana mbalimbali hufanya matukio tofauti tofauti kwa lengo la kuwajenga na kuwaimarisha vijana

Katika nchi yetu pia ya Tanzania vijana waliweza kuadhimisha tukio hili la siku ya vijana dunia,
Vijana wa mkoa wa Mbeya wakiunganishwa na taasisi za MBEYA YOUTH INITIATIVE, MBEYA LIVING LAB na YWCA MBEYA waliunganika pamoja na kuhusianisha vijana kutoka makundi tofauti tofauti katika tukio hili la kipekee duniani

Katika siku hii waliweza kutembelea chuo cha GREENHILL INSTITUTES kwa dhumuni la kutoa hamasa mbalimbali za kimaendeleo kwa vijana na baaadaye kuelekea katika kambi la pamoja kwa vijana huko mada mbalimbali zilizungumzwa

KARIBU UJIONEE MATUKIO


                           Sara ya kumshukuru MUNGU kuwezesha kuwa pamoja
                       LILIAN MWANJELA akitoa jambo kwa vijana namna ya kusimamia ndoto zao
                 DEBORA ADAM akitoa msisitizo namna ya kujiunga na makundi ya vijana


    ELLY BONKE akizungumza ni maana ya siku ya vijana duniani na kwanini vijana wanatakiwa kuanza
               VICK JOHN akizungumza na vijana wa chuo cha GREENHILL 


                      Emanuel Mwansasu, Joseph George, Justin na Gumbo wakicheza michezo

               Michezo ikiendelea katika eneo la YOUTH CENTER


                                 Chakula cha pamoja usiku kikiendelea



                 vijana wakitoa mada redio ya siku ya vijana

0 comments:

Post a Comment

 

Bongo Blogs - Blog ya Taifa

COPYRIGHT © Egy business solution DESIGN BY NANG JET 0764504595,0672804085