.

.

MUNA TOYS & STATIONERY

MUNA TOYS & STATIONERY

Wednesday, July 20, 2016

MILIKI FURAHA YAKO NA MBEYA YOUTH INITIATIVE

Karibu MBEYA YOUTH INITIATIVE taasisi ya vijana kwa mkoa wa Mbeya na Tanzania kwa ujumla kwa shughuli za kiujasiriamali na kijamii, pia taasisi hii imekua ikiandaa matukio mbalimbali kwa kushirikiana na watu mbalimbali.
Tunafanya masuala ya ujasiriamali ikiwa ni pamoja na uuzaji wa hizi t-shirt,na shughuli za kiuchumi pia kazi za kijamii na kufanya safari mbalimali

unaweza kujionea matukio mbalimbali ya kutembelea hospitali ya rufaa pamoja na ziara ya kutembelea Tukuyu pamoja na Matema Beach wilayani kyela

 karibu ufanye nao kazi kwa simu 0764761900 au 0718972260
                                                    MBEYA YOUTH INITIATIVE


                     BAADHI YA WANACHAMA WA MBEYA YOUTH INITIATIVE
                                              WAKINA DADA NDANI YA MBEYA YOUTH
Debora Adam



                       SARA, JANETH, NEEMA, SANGUMBI, NA KATE

0 comments:

Post a Comment

 

Bongo Blogs - Blog ya Taifa

COPYRIGHT © Egy business solution DESIGN BY NANG JET 0764504595,0672804085