UNA NDOTO, UNA MAONO, UNA MALENGO 2015 JISIKILIZEE
ukiamua kubadilika katika maisha uyatakayo, amua kujifunza hatimaye dunia itaguswa na uwepo wako na mchango wako utatambulika sana,
MWAKA 2015 JARIBU KUWA CHANZO CHA MABADILIKO
Team kutoka MBEYA LIVING LAB wakisikiliza kwa makini mafunzo yakiendelea
Kelvin Mpika meneja masoko wa HIGHLANDS FM alikuwepo ukumbini
NANG JET kutoka ROCK FM pamoja na ELIUD SAMWEL walikuwa watu mihimu kwa usiku huuu
VERRAN akisikiliza matukio yanayoendelea usiku wa hamasa
PK5 pamoja na PRINCE kutoka sweet fm
EDOM kutoka Redio USHINDI FM alisisitiza vitu mbalimbali kwa vijana katika uwekaji malengo
TUKIO HILI LILIANDALIWA NA EGY BUSINESS SOLUTION pamoja na T-MOTIONS FILIMS kwa kudhamini na MBEYA HIGHLANDS FM, ROCK FM, SWEET FM, USHINDI FM, TEAM DREAM CHASER TZ, TUMANYENE SOCIAL HALL
Tunawashukuruni sana wotekwa kutuunga mkonokatika tukio zima tunawashukuru kwa changamoto nyingi tumeziona , TUNAAHIDI KUZIFANYIA KAZI KABISA, MTUSAMEHE SANA KWA TULIPOKOSEA NDUGU ZETU, USHAURI TUNAHITAJI KUPITIA
0764761900 , 0752579939
Email ELLYBONKE7@GMAIL.COM
TUKUTANE KWENYE TUKIO KAMA HILI MWAKANI 1 JANUARY 2016
safi sana mungu atatusaidia tutafika tu
ReplyDeleteAHSANTE SANA KAKA, TUNATEGEMEA USHAURI WAKO KUZIDISHA UBORA ZAIDI, INGAWA TUTAKUWA NA MATUKIO MENGI MENGI HAPA KATIKATI, THANKS FOR SUPPORT YAKO KIONGOZI
ReplyDelete