.

.

MUNA TOYS & STATIONERY

MUNA TOYS & STATIONERY

Saturday, June 27, 2015

SAFARI YA WAJIBIKA MBEYA KATIKA VIJIJI VYA IHOMBE ENEO LA MBEYA VIJIJINI

Ihombe ni kijiji kilichopo katika kata ya Utengule Usongwe katika halmashauri ya Mbeya vijiji , ambapo kupitia WAJIBIKA MBEYA tulienda kukutana na vikundi pamoja na wanakijiji waishio maeneo hayo kwa lengo la kuwafundisha namna ya utengenezaji wa vitu mbalimbali na njia mbalimbali za uanzishaji wa biashara katika maeneo yao

WAJIBIKA PROJECT MBEYA huu ni mradi unaotekelezwa na YWCA TANZANIA chini ya ufadhili kutoka Y-GLOBAL KFUK-KFUM NORWAY na katika mkoa wa mbeya inatekelezwa na YWCA MBEYA

lengo la mradi huu ni kutoa fursa kwa vikundi vya vijana mbalimbali na wanawake wajasiriamli kuweza kuanzisha miradi yao,
 Itazame safari ya kuelekea kutembelea vikundi vya wajasiriamali katika vijiji vya IHOMBE
                                          Safari ya kueleke kijijini ilianza hivi

    Wanakikundi wakitengeneza kikoi katika kijiji cha ihombe ambapo tulikutana na vikundi tofauti

0 comments:

Post a Comment

 

Bongo Blogs - Blog ya Taifa

COPYRIGHT © Egy business solution DESIGN BY NANG JET 0764504595,0672804085