.

.

MUNA TOYS & STATIONERY

MUNA TOYS & STATIONERY

Monday, December 8, 2014

YWCA WAJIBIKA PROJECT MBEYA, IMEKABIDHI MITI MIA 200 KWA SHULE NNE ZA JIJI LA MBEYA

YWCA WAJIBIKA PROJECT MBEYA, hii ni harakati za vijana katika kuleta maendeleo katika maeneo ya KIUCHMI,  ambapo katika siku ya jana imefanikiwa kupanda na kugawa miti katika shule NNE katika mkoa wa Mbeya ambazo zote hizi zinamilikiwa na serikali ambazo kati ya hizi tatu ni za msingi na moja ni ya sekondari ambapo miti hiyo imeweza kugawiwa
1. SHULE YA MSINGI NZOVWE
2. SHULE YA MSINGI JITEGEMEE
3.SHULE YA MSINGI MAPINDUZI
4.SHULE YA SEKONDARI NZONDAHAKI

Mradii huu unatekelezwa zwa na YWCA MBEYA chini ya usimamizi wa YWCA TANZANIA, kwa ufadhili wa KFUK- KFUM ya NORWAY, ambao uatekelezwa hapa Mbeya,

DEBORA NJULUMI: anawashukuru kwa wakazi wajiji la Mbeya ambao kwa ujumla wamekuwa wakisaidia kuyasogeza mbele maendeleo ya jiji, hususani katika masuala ya mazingira

        Mwalimu wa mazingira shule ya msingi JITEGEMEE, akikabidhiwa miti
                                                hapa ni katika shule ya msingi NZOVWE

                                      Katika shule ya NZONDAHAKI    

    DEBORA NJULUMI akiwa katika upandaji miti katika shule ya sekondari ya   NZONDAHAKI
                                              Mwenyekiti wa CLUB ya mazingira akipanda mti
                      mwalimu na msimamizi wa mazingira shuleni hapo


0 comments:

Post a Comment

 

Bongo Blogs - Blog ya Taifa

COPYRIGHT © Egy business solution DESIGN BY NANG JET 0764504595,0672804085