.

.

MUNA TOYS & STATIONERY

MUNA TOYS & STATIONERY

Saturday, July 12, 2014

NDANI YA MWAKA MMOJA IFAHAMU EGY BUSINESS SOLUTION, INAYOONGOZWA NA VIJANA WATATU




 kampuni la jiji mbeya linaloongozwa na vijana wajasiriamali,jionee kazi zao ndani ya mwaka mmoja
EGY BUSINESS SOLUTION: ni kampuni lililo katika usajili wa  makampuni TANZANIA, Katika shirika la usajili wa makampuni BRELA, katika mwaka wake mmoja  toka  kuanzishwa tumeweza kufanya shughuli mbalimbali zinazohusu jamii na za kibiashara tukilenga kuikwamua jamii na kutoa mchango yetu katika jamii ya kitanzania hata nje ya nchi ambazo nyingi ni kuleta mtazamo chanya kwa binadamu

Katika ndani ya mwaka mmoja tumeweza kushirikiana na watu mbalimbali ambao sio rahisi kuwataja wote majina yao, na pia mashirika mbalimbali ikiwa ni pamoja na PEPSI, YWCA MBEYA, HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA

KAZI NA SHUGHULI UNAZOWEZA KUFANYA NA EGY BUSINESS SOLUTION

1.      Tunaendesha na kusimamia matukio (event) mbalimbali ya kibiashara na kijamii
2.      Tunafundisha  na kufanya uhamasishaji kuhususiana na ujasiriamali
3.      Tunakodisha na kuzimisha viti vya plastic katika matukio mbalimbali
4.      Tunatengeneza na kuandika mpango  mkakati(planning) and business plan
5.      Tunafanya kazi ya upigaji picha (photographer) na kutengeneza kwa mifumo mbalimbali
6.      Mc’s katika matukio mbalimbali kama semina, harusi, graduation,kipaimara,
7.      Kuendesha blog na kutangaza biashara mbalimbali                                   



Hizi ni shughuli ambazo kwa mwaka mmoja tumeweza kuzifanya na kwa mafanikio, ingawa tunawaakikishia kuwa ndani ya mwaka ujao tutaendesha na kufanya vitu mbalimbali katika jamii na tunakaribisha yeyote anayetaka kufanya kazi na sisi  MAWASILIANO YETU SIMU NO :0764761900,0765988268 EMAIL:egybusinesssolution@gmail.com

 
MATUKIO KATIKA PICHA JIONEE VIJANA WATATU WANAOIMILIKI HII KAMPUNI YA KITANZANIA

                                  hii ndiyo logo ya EGY BUSINESS SOLUTION tunayoitumia

          
Juu ya MLIMA LOLEZA tulipoongoza vijana wajiji la mbeya, na kuzindua project yetu ya "burn the boat"
                           Tulipo simami graduation ya form six shule ya sekondari iyunga(mbeya)
                  kampeni yetu ya upandaji miti tulioshirikiana na halmashauri ya jiji la mbeya



                              ziara tulioandaa ya kutembelea wagonjwa hospitali ya rufaa mbeya
                Victor kabuje(afisa maendeleo wa jiji)  na diwani Mwashilindi walipohudhuria semina ya ujasiriamali tulioiandaa


                                     picha zinazotengenezwa na sisi katika ubora wake


2 comments:

  1. Kazi yenu ni njema sana vijana, tupo pamoja na tutapeana ushauri wa kitaalam juu ya namna ya ku expand your horizons ili mfike mbali zaidi

    ReplyDelete
    Replies
    1. tunakushukuru sana kaka utusamehe tulichelewa kuiona ila ahsante sana kwa ushauri wako kaka yetu, tunapenda ushauri wako

      Delete

 

Bongo Blogs - Blog ya Taifa

COPYRIGHT © Egy business solution DESIGN BY NANG JET 0764504595,0672804085