Kubwa katika yote ambalo lilionekana kufuraisha wageni walio alikwa katika warsha hio na MC ELIUD ni pale alipo tangaza rasmi na kuwatumia wageni waalikwa kama mashaidi na kutangaza rasmi yakuwa kuanzia siku hiyo atakuwa akifanya kazi rasmi na kampuni ya EGY BUSINESS SOLUTION kama mshereshaji wa matukio mbalimbali ya ndani ya kampuni na nje ya kampuni kamavile semina,mikutano, na nje ya kampuni ni kama harusi, sendoff, birthday parties, graduations, n.k au shughuli yoyote inayo hitaji mshehereshaji. Katika kuthibitisha hayo akasaini mkataba mbele ya wageni waalikwa na tukio hilo likisimamiwa na mkurugenzi wa EGY BUSINESS SOLUTION ndugu ELLY BONKE na atakae kuwa meneja wake (MC) ndugu EMMANUEL MWANSASU .
Mwisho kabisa ni nafasi aliyo tumia MC ELIUD SAMWEL kuwaomba watu wote kumuamini na kumpa nafasi ya kusheheresha shughuli/sherehe zao na kuwa ahidi kuwa atafanya kazi kwa utofauti na kwa ubora zaidi na kuacha mawasiliano yao.
Mawasiliano; 0764761900
0767181092
Mkurugenzi wa EGY BUSINESS SOLUTIONS ( ELLY BONKE) akitia saini makubaliano
Team ya EGY kulia ni IMANUEL MWANSASU, ELIUD SAMWEL, ELLY BONKE, SHEDU
LILIAN BONKE kwa niaba akikabidhi makataba wa kampuni
MKURUGENZI WA TS STUDIO AKIWA NA MC ELIUD SAMWEL






0 comments:
Post a Comment