YOUTH CAMP IN MBEYA 30 SEPTEMBER 2016......ilikuwa siku pekee kwa vijana kukutana na kuzungumza katika masuala mazima ya Ujasiriamali,Uongozi,Kujitambua. na Namna ya kusimamia ndoto za vijana .
Maisha yalikuwa ya kuishi na kuzungumza pamoja hususani kujenga mtandao kwa vijana wa kitanzania , kuwa na uelewa kuhusiana na jamii kwa ujumla. washiriki mbalimbali walishiriki kutoka ndani ya mkoa wa Mbeya na Nje ya Mbeya
Kupitia taasisi ya MBEYA YOUTH INITIATIVE wakiwa waandaji wa CAMP hii ya hamasa yalizungumzwa Mengi ya kumuondoa kijana hatua moja kwenda nyingine
Mawasiliano
Ukihitaji kukutana na taasisi hiii
Facebook....MBEYA YOUTH INITIATIVE
Instagram .....mbeyayouthinitiative
Youtube.......MBEYA YOUTH
Simu.....0764761900 au 0718972260
Hapa ni Nje Ndani muda ulipowadia wa mazoezi ya pamoja
Chai mapema asubuhi kila mtu na kikombe chake
Mada mbalimbali zikitolewa na vijana wakijadiri
Jinsi unavyongeza mtandao ndivyo unavyokaribia utajiri wako
ALPHA AGUSTINO akitoa somo la uonoziwa Familia na Maisha kwa ujumla kwa vijana
Maisha ya kuzungumza pamoja na kucheza pamoja ni muhimu kwa vijana
Unaweza kusimamia ndoto yako ukiamua kuwa mtu wa tofauti na sasa
MUNA TOYS & STATIONERY
Browse » Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 comments:
Post a Comment