Na njia ya barabara ya kutoka Mbeya mpaka Rungwe ni njia ambayo inapitika kwa urahisi zaidi na nimiongoni mwa rami bora sana kwa Tanzania
Hali ya hewa ya tukuyu au rungwe ni hali ya ubaridi na inayopendwa na wengi sana kutokana na ukijani uliopo katika eneo zima na njia ya kuelekea rungwe
Hii ni nyumba ambayo inajengwa na mtoto mwenye umri wa miaka 13 na yeye anaishi humu akiwa amejitenga nje kidogo na wazazi, na huku ni kawaida kwa watoto wakifikia umri huu kujijengea nyumba za kuishi
Eneo la vijijini kuna usalama na humo ndimo kijana anaishi aliye kidato cha kwanza , anakula kwa wazazi anaishi kwake
ujenzi huu utumia nyasi, mianzi, tope za ufinyanzi na chini huwa kunasilibwa na udongo mfinyanzi
Chanzo cha maji ambacho wakazi wa tukuyu(masoko) wamekuwa wakikitumia kwa shughuli za majumbani
kijana akiwa kaanika nguo eneo la getho lake
Ukiambiwa migomba huku ndiyo mahali pake
huku kwetu ukiaga unaenda tukuyu bhasi utaagizwa matoki(ndizi) au maziwa




0 comments:
Post a Comment