.

.

MUNA TOYS & STATIONERY

MUNA TOYS & STATIONERY

Friday, June 19, 2015

YWCA MBEYA WALIVYOSHIRIKI SIKU YA MTOTO WA AFRIKA KATIKA JIJI LA MBEYA

Kila mwaka mwaka tarehe 16 JUNE dunia inaadhimisha siku ya mtoto wa afrika , hivyo asasi ya vijana ya YOUNG WOMEN S CHRISTIAN ASSOCIATION MBEYA walishiriki katika maadhimisho hayo ambayo yalibeba ujumbe mkuu wa TOKOMEZA MIMBA NA NDOTO ZA UTOTONI
pia blog yako ya www,jisikilizee.blogspot.com tuliweza kushiriki katika maadhimisho hayo ambayo yalifanika katika viwanja vya Rwanda nzovwe jijini Mbeya
karibu jionee matukio katika picha


        Shughuli mbalimbali zikiendelea katika viwanja vya Rwanda nzovwe

              Vijana wa YWCA MBEYA wakiwa wamebeba ujumbe wa siku ya mtoto wa afrika
                    Kaimu katibu wa YWCA MBEYA akipewa zawadi kwa kuwakilisha tawi vyema
                  Watoto wanahaki ya kulindwa na kila aina ya hatari inayoweza kuwakabili


                                                Vijana walio chini ya YWCA MBEYA


                             MASHIRIKA MBALIMBALI YALIONESHA SHUGHULI ZAO

 KARIBU SANA YWCA MBEYA KWA MAWASILIANO ZAIDI ywcambeya@yahoo.com
au simu piga +255715850113

0 comments:

Post a Comment

 

Bongo Blogs - Blog ya Taifa

COPYRIGHT © Egy business solution DESIGN BY NANG JET 0764504595,0672804085