Katika kufunga mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka 2015 taasisi ya YWCA MBEYA kupitia WAJIBIKA PROJECT MBEYA na vijana wa mkoa wa Mbeya kiujumla huku tukishirikiana na Redio HIGHLANDS FM,leo tumeungana katika matukio makuu matatu
1.Kufanya usafi wa mazingira katika hospitali
2.kutoa vifaa vya usafi
3.Ugawaji wa vifaa kwa wagonjwa katika hospitali ya rufaa Mbeya
Tunawashukuruni sana wote ambao tumeshirikiana kuumaliza mwaka 2014, kwa namna moja au nyingine kwa kuweza kufanikisha tukio zima hili la kuwafariji na kuwathamini wenye mahitaji
Eneo la kutupa taka baada ya shughuri ya ufagiaji
Muuguzi wa zamu akitoa maelekezo kwa vijana tuliofika eneo la hospitali
Viongozi kutoka HIGHLANDS FM wakishiliki kwa pamoja usafi hospitalini
Project officer wa YWCA WAJIBIKA PROJECT MBEYA
KARIBU SANA KUSHIRIKIANA NASI KWA SIMU 0764761900 au 0715850113
MUNA TOYS & STATIONERY
Browse » Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




EGY,Hongera nyingi sana kwa kuonyesha mfano. Kwamba vijana mnaweza kuonyesha njia. Nawaasa tumieni KISWAHILI ZAIDI kujitangaza. KISWAHILI, KISAFWA, KINYAKYUSA na sehemu ya UTAMADUNI. Wageni wangependa kuongea KISWAHILI zaidi. Lugha ya kigeni ni kujisalimisha kwa utamaduni wa WATU.
ReplyDeleteNimekuwa huko miaka ya 1977 -1980. Kama kijana tulikuwa na "Excursion Group" by then "Uyole Agricultural Centre" . Tulitembelea Rungwe Mountain, maporomoko ya sehemu za Inyala, Kitulo na Ziwa Nyasa. Japo umri umepanda kidogo napenda kutembelea EGY Mbeya kwa wiki au so. Inaweza kunigharimu kiasi gani kama mtalii wa ndani?
RA