YWCA WAJIBIKA MBEYA, ni harakati za vijana katika uwajibikaji kiuchumi na mazingira ili kuleta maendeleo endelevu, huu ni mradi unao simamiwa na YWCA TANZANIA chini ya ufadhili wa Y GLOBAL KFUK KFUM NORWAY ambao umelenga sana kuyabadilisha maisha ya jamii ili kujenge uelewa wa mambo mbalimbali,
katika siku hizi mbili imeendesha mafunzo ya ujasiriamali katika vikundi kumi na tano vya jijini Mbeya na nje kidogo ya jiji la Mbeya, ambapo wanakikundi wamejifunza namna ya kutengeneza TIE-DYE, MISHUMAA, KEKI, MAFUTA, SHAMPOO,SABUNI,
Vikundi ambavyo vilivyopata mafunzo ni pamoja na MLIMANI YOUTH GROUP, YWCA, HEKIMA VICOBA, UPENDO IYUNGA, TUPENDANE IYUNGA, LUKONDO, NSEKELELE, IJOMBE, IDUDA,LUNJI,MAVUNO,LEA MAMA, AMKA MWANAMKE,
mradi huu kwa Mbeya unasimamiwa na DEBORA NJULUMI, chini ya YWCA MBEYA,
Wote kwa pamoja wamepata mafunzo kupitia WAJIBIKA PROJECT MBEYA
ukihitaji kujua zaidi wasiliana kwa namba hii 0764761900, kupatiwa muhusika zaidi
baadhi ya washiriki wa mafunzo
mjasiriamali kutoka kikundi cha MLIMANI YOUTH GROUP akichangia mada
darasa la mafunzo ya ujairiamali jijini Mbeya
Mwalimu kutoka YWCA Dar es salaam, akielekeza namna ya kutengeneza sabuni ya maji
Salome , mama mjasiliamali kutokea kikundi cha AMKA MWANAMKE
Michael Bundala, kiongozi wa kikundi cha MISHEMI
mafunzo kwa vitendo namna ya kutengeneza TIE & DYRE
Kila mshiriki akinuia kujifunza namna ya utengenezaji wa bidhaaa
utengenezaji wa VIKOI na maandalizi ya KEKI yakifanywa na wanakikundi
kazi waliyoifanya kwa mikono yao washiriki wa mafunzo haya
katibu pamoja na project officer wakiwa wameshikiria keki iliyotengenezwa na wanamafunzo
HONGERENI YWCA TANZANIA, HONGERENI YWCA MBEYA
MUNA TOYS & STATIONERY
Browse » Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 comments:
Post a Comment