.

.

MUNA TOYS & STATIONERY

MUNA TOYS & STATIONERY

Friday, May 23, 2014

MAADHIMISHO YA YWCA KANDA YA KUSINI YALIVYOFANA



Maadhimisho ya  YOUNG WOMEN’S CHRISTIAN ASSOCIATION(YWCA) kanda ya kusini  yalivyofana katika wilaya ya Rungwe mwaka huu 26/4/2014 kwa kufanya matukio mbalimbali, maadhimisho haya yalihusianisha

kanda ya kusini ikiwa ni matawi yalio katika mikoa ya MBEYA na IRINGA ambapo ilikutanisha tawi la Ywca Mbeya mjini,  Ywca mbozi,  Ywca rungwe, na  tawi la Ywca ilula
Maadimisho haya yaliendana na shughuli mbalimbali za kijamii  katika wilaya ya rungwe ambalo ndilo lilikuwa eneo lililofanyika maadhimisho mwaka huu na shughuli kuu mwaka huu zilikuwa ni pamoja   
 
1. UFAGIAJI WA STENDI YA TUKUYU NA NJIA YA KUELEKEA OFISI ZA MKUU WA WILAYA

2. KUTEMBELEA KITUO CHA WATOTO WANAOISHI NA ULEMAVU KATIKA ENEO LA KATUMBA

3. MAANDAMANO KWA LENGO LA KUTOA UJUMBE KWA JAMII, ulioendana na upingaji wa ukatili wa kijinsia

4. TUKIO LA PAMOJA NA MKUU WA WILAYA YA RUNGWE

Maadimisho haya  sana yalilenga kutoa na kupinga ukatili wa kijinsia uliopo miongoni  mwa wanajamii ambao tunaishi nao katika jamii zetu,
mgeni rasmi wa maadimisho haya ya kanda alikuwa ni ndg CLISPIAN MEELA  ambaye ni mkuu wa wilaya wa rungwe, ambae aligusia mambo mbalimbali yahusuyo jamii yetu na kusisitiza wanawake kutumia fursa za kijamii

                                         MATUKIO YA PICHA JINSI ILIVYOKUWA
        wanachama wa YWCA KANDA ya kusini wakiwa katika picha ya pamoja eneo la tukuyu mjini

                                           wakiwa katika ufagizi wa barabara eneo la tukuyu 

hapa ni YUI kutoka (japan) akiwa na  DEBORA programu officer wa WAJIBIKA PROJECT MBEYA katika usafi wa mji wa tukuyu
                                          katibu wa YWCA tukuyu akiwa katika ufagizi wa mji


                wanachama wakijiandaa kuingia shule ya watoto wenye ulemavu KATUMBA


mkuu wawilaya akikabidhi bidhaa kwa niaba ya YWCA

                 MAANDAMANO YA WANACHAMA WA YWCA MJINI TUKUYU

                        WANACHAMA WAKIWA KWENYE PICHA ZA PAMOJA
                                            MWENYEKITI YWCA KANDA YA KUSINI

                                   PICHA YA PAMOJA NA WATOTO WENYE ULEMAVU

0 comments:

Post a Comment

 

Bongo Blogs - Blog ya Taifa

COPYRIGHT © Egy business solution DESIGN BY NANG JET 0764504595,0672804085